Mkurugenzi wa Uendelezaji Biashara wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC),David Shambwe (katikati) akiongea na waandishi wa habari (hawapo pichani) jijini Arusha leo wakati wa uzinduzi wa mauzo ya majengo ya Levolosi. Uzinduzi huo umefanyika leo jijini humo.Kulia kwake ni Meneja Masoko na Utafiti,Itandula Gambalagi.
Baadhi ya majengo mapya yaliyouzwa yakiendelea na ujenzi.
Picha ya pamoja baada ya uzinduzi wa mauzo ya nyumba za levolosi jijini Arusha leo

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa


  1. Kwa mnaojua, tafadhali tujulisheni BEI na utaratibu unaofuatwa katika kununua hizo nyumba.

    Au wapi tunaweza kupata hizi taarifa.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...