Spika wa Bunge la Tanzania Mhe. Anne Makinda akipokelewa na wafanya kazi wa Ubalozi mjini Roma Italia mara baada ya kuwasili ubalozini hapo hivi karibuni.
Msaidizi wa Balozi na Mkuu wa Utawala wa Ubalozi Bw. Salvatory Mbilinyi akimpa Mhe. Spika taarifa fupi ya Ubalozini hapo.
Wafanyakazi wa Ubalozi wakimsikiliza Spika Makinda alipokuwa akiwaasa kuwa ushirikiano, kufanya kazia kwa bidii na uzalendo kwa nchi yao ni nyenzo kubwa za kuitangaza vema Tanzania.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. Hatujaona Mhe. spika akikutana na Chibiriti. Je imekuaje?

    ReplyDelete

  2. Chibiriti ndiyo nani?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...