Mwenyekiti wa Tume ya Mabadliko ya Katiba Jaji Joseph Sinde Warioba akizuingumza na waandishi wa habari katika hoteli ya Seed Farm Villa mjini Songea leo kuhusu ukusanyaji wa maoni ya wananchi kuhusu Katiba mpya. Kulia ni kiongozi wa timu ya Tume hiyo inayokusanya maoni mkoani Ruvuma Profesa Mwesiga Baregu.
Home
Unlabelled
tume ya katiba yaendelea na ziara yake mkoani ruvuma
Subscribe to:
Post Comments (Atom)



Ttz ni kuwa wengi wanadhani hapo ni pahala pa kutangaza njaa au kumwaga dkdk lao binafsi, je wabunge mbona hamwendagi kuwasikiliza wapiga kura wenu kama hii tume inavyofanya?
ReplyDelete