Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 20 mpaka sasa

  1. Ahahahaha huyo polisi aibu yake.

    ReplyDelete
  2. Huyo Zebedayo vipi hapo chini?!.

    ReplyDelete
  3. Akina makunja huwa wanapuliza kwanza kabla ya kwenda kwenye shughuli, inawezekana alizidisha kiwango..

    ReplyDelete
  4. Bange mbaya bange, tunawaambia kila siku acheni kijiti!

    ReplyDelete
  5. Dereva amekosea bora angerudi nyuma na kumkanyaga kabisa kudadeeeekkkk.

    ReplyDelete
  6. Inabidi wawe wanapimwa kila mara kama wachezaji mpira kujua kama wamevuta au kutumia kilevi, maana huwa wanafanya vitu vya ajabu visivyotarajiwa, kulipua mabomu ovyo au kama katika picha hapu juu haingii akilini kabisa.

    ReplyDelete
  7. Looks like they are about to Rodney King his ass, lol! Just kidding

    ReplyDelete
  8. Mdau wa maguSeptember 22, 2012


    Hivi magari ya polisi na wanajeshi hayawezi kufika inakoenda bila kufanya vurugu barabarani? wakibeba maiti vurugu, wakienda lindo vurugu wakiwa doria vurugu. Wanakufa kila siku katika ajali hawajifunzi. Kamanda washauri vijana wako

    ReplyDelete
  9. Unajua akina Ras Makunja hizi ndizo zao wakiupiga muziki wao wanaondokaga kiaina aina katika miondoko heti ya bongo tambarare

    ReplyDelete
  10. Akina Ras makunja hii ya leo mmetoa mpya tena sebene hili kubwa kuliko yote,hongereni sana wazee wa bongo tambarare

    ReplyDelete
  11. mi nilitaka iwe wanawakimbia CHADEMA AU CUD AU UAMSHO halafu mmoja ndio anabakia ningefurahi hizo sifa zao.

    ReplyDelete
  12. eti zebedayo !!! we , nitakufuata huko huko UK nikubonde,muulize Mashaka tumesoma naye,ila mwenzangu alipenda sana kizungu ,mimi nikabezi kwenye kiswahili,kwa hiyo mimi na yeye ngoma bila bila,ila yeye kanizidi kifeza. Zebedayo msema kweli

    ReplyDelete
  13. wanakimbia uamsho kule zenj

    ReplyDelete
  14. Mimi nadhani wanawawahi uamsho na jamaa ana usongo nao sana hakutaki kubakia nyuma..

    ReplyDelete
  15. Aibu kubwa kwa jeshi letu... haya mambo ya kipuuzi wataacha lini? Utadhani watoto... inanikera sana. Matokeao yake hata kwenye kazi wanafanya masihara hivyo hivyo na kuumiza watu bila sababu! bora waumizane wenyewe kwa wenyewe!

    ReplyDelete
  16. kamanda Ras makunja washauri vijana wako wapunguze madoido,huu muziki wenu nakubali kila penye fujo

    ReplyDelete
  17. akina ras makunja uneunguaji huu sio mzuri mnaweza kupoteza maisha

    ReplyDelete
  18. Hakuna nini wala nini hapa alikiwa anafanya majaribio kama 'madaruga ya magotini' yanafanya kazi endapo ataangauka akiserereka?

    Wala hajazidiwa na ulevi wowote ule, mchezo,,,mtoto wa nyani anaweza kuponyoka kutoka tumboni mwa mama yake?
    Ni kiasi cha Mafunzo kwa vitendo!

    ReplyDelete
  19. Huyu alikuwa nje ya timing za kudandia Difenda matokeo yake anaiona joto ya jiwe!

    Inawezekana hapa waliingia kichwa kichwa ktk eneo la tukio na sasa wamezidiwa Dereva ameona akanyage mafuta bila kuoangalia kama wenzake wameshapanda sasa wanakula kona!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...