Mkurugenzi wa BMP Promotions inayoandaa Redd’s Miss Temeke, Benny Kisaka (Kushoto) akikabidhi Sh. Laki 8 kwa mshindi wa pili wa shindano hilo, Flavian Maeda.
Mkurugenzi wa BMP Promotions inayoandaa Redd’s Miss Temeke, Benny Kisaka (Kushoto) akikabidhi Sh. Laki 7 kwa mshindi wa tatu wa shindano hilo, Catherine Masumbigana.
Washindi wan ne wa kwanza wa Redd’s Miss Temeke ambao wote wamepata nafasi ya kushiriki shindano la Taifa la Redd’s Miss Tanzania wakiwa wameshikilia vitita vyao mara baada ya kukabidhiwa jana na mwandaaji wa mashindano hayo, Benny Kisaka. Kwanza kulia mshindi Edda Slyvester, Flavian Maeda, Catherine Masumbigana na Jesca Haule.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 4 mpaka sasa

  1. bwashekh mithupu hawa wanapatikana kwa email?

    ReplyDelete
  2. VIBAKA WANAWEZA KUWASUBIRI NJE YA OFISI. HAYA MAMBO YA NOTI HADHARANI BONGO TUMEKUWA NIGERIA? INAWEZA KUWA WANAONYESHA HALAFU WANANYANG'ANYWA. HII SIO USHAHIDI KWAMBA WAMELIPWA. ACHENI HIZO, JE KAMA NI NOTI FEKI?

    ReplyDelete
  3. wadada wanajilazimisha kuwa na kicheko cha kimiss ukiwaangalia kwa makini hawana kicheko cha kikweli hahahahaha

    ankali mithupu usitoe data zao hao wadada kwa huyo mdau hapo juu maana anataka kukaribisha ngono

    waungwana sio kila kingaacho ni dhahabu hebu yafikirieni na maisha yenu mwe!

    ReplyDelete
  4. Do we have the knowledge of using plastic money?????????????????? kubeba minoti kama karatasi ni ushamba kwa karne hii jamani

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...