Home
Unlabelled
gado kwa gado....
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
MichuziBlogV2Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Hiyo tafsiri yake ni Ushindani wa Kisiasa:
ReplyDeleteIsipokuwa mambo haya muhimu matano (5) yanahitajika kuzingatiwa ili kufikia lengo kama Tafsiri hiyo niliyoona inavyo kusudiwa,
1.Siasa ziendeshwe kwa Tija na sio kwa Jazba.
2.Pawe na Ustaarabu ktk uenezi wa Kisiasa.
3.Upinzani wa Kisiasa sio Uvunjaji wa Sheria.
4.Maana ya Siasa sio mgawanyiko kwa Misingi ya Itikadi za utofauti wa vyama na Misimamo ila ni kuleta Maendeleo na kutumia utaratibu huru wa kupata Uongozi unaokubalika na wengi.
5.Siasa ni Ustaarabu na sio Uadui, Visasi na chuki.
Tafsiri yake mwenye CCM anauza sana Bizaa zake sijui anakopesha yeye? Bizaa zake zina kwisha ila wa Chadema bado Bizaa zimemjalia, au yeye anafanya bidii akiuza tu analeta tena? Sizani sio muuzaji mzuri.
ReplyDeleteHiyo Pemba haiwezekani sijui kwa nini? Wapemba wanataka bendera moja tu ya CUF.
ReplyDeleteTafsiri yake ni hii: 'Hapa ngoma inogile, mwaga ugali nimwage mboga, nikanyage bahati mbaya nikukong'oli makusudi'
ReplyDeleteTafsiri yake ni Kidumbe dumbe chariya mkojozi ka kojowa na nguo kati ya moto.
ReplyDeleteamenichekesha sana mdau wa mwisho kanikumbusha utotoni laki kidogo spelling kakosea lakini poa ile mbaya hii nyimbo tulikuwa tunaibiwa tukikojoa kitandani duu poa ile mbay michu thanks man kwa kiweka hii comment ya mdau wa mwisho kanifurahisa kiyama
ReplyDeleteTafsiri: Tutofautiane ki-itikadi kama kulivyo ndoa baina ya watu wa imani Islamu na Christu na wanajifunika shuka moja wakilala! kama hawa walivyo katika banda moja wakutafuta kuendesha maisha. Hivyo basi; na tudumishe kwa amani na upendo baina yetu.
ReplyDeleteBendera hufuata upepo... atakaeshinda huyo huyo ndio nimemchagua... Niachieni biashara yangu iendelee..
ReplyDeletehuku nipo na huku nipo, atakae boresha mtaji wangu ndie nitakae muelewa zaidi kwa wakati huo wa uboreshaji!!
ReplyDelete