Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba (kulia) akizungumza na wajumbe wa kamati ya Bunge ya Katiba, Sheria na Utawala wakati wa ziara iliyoanywa na wajumbe hao leo jumanne tarehe 16.Oktoba, 2012  ya kutembelea vitengo mbalimbali vilivyopo katika Makao Makuu ya Tume hiyo Jijiini Dar es Salaam. Kushoto ni Naibu Waziri wa Katiba na Sheria, Angellah Kairuki na Mwenyekiti wa Kamati hiyo, Pindi Chana.


 Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba, (kulia) akibadilishana mawazo na Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Katiba, Sheria na Utawala, Pindi Chana (katikati) wakati kamati hiyo iliyofanywa leo jumanne tarehe 16. Oktoba, 2012 na kutembelea vitengo mbalimbali vilivyopo katika  makao makuu ya Tume hiyo Jijini Dar es Salaam. Kushoto ni Naibu Waziri wa Katiba na Sheria, Angellah Kairuki.


 Katibu wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba akibadilishana mawazo na wajumbe wa kamati ya Bunge ya Katiba, Sheria na Utawala wakati wa ziara ya wajumbe hao iliyofanywa leo jumanne tarehe 16.Oktoba, 2012 na kutembela vitengo mbalimbali vilivyopo katika Makao Makuu ya Tume hiyo, Jijini Dar es Salaam. Kutoka Kulia ni wajumbe wa Kamati hiyo, Rashid Ali Abdalla, Deogratius Ntukamazina, Naibu Waziri wa Katiba na Sheria, Angellah Kairuki na Felix Mkosamali

Wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Katiba, Sheria na Utawala wakitazama namna ya Sauti zenye maoni ya wananchi zinazokusanywa kutoka Mikoa mbalimbali nchini namna zinavyoweza kupokelewa katika Makao makuu ya Tume hiyo, Jijini Dar es Salaam. Kulia ni Mwenyekiti wa Kamati hiyo, Pindi Chana na wa pili kulia ni Katibu wa Tume, Assaa Rashid. (Picha na Tume ya Katiba)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...