Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiweka mchanga kwenye kaburi la Marehemu Mama Lucy Adam Samilah  katika makaburi ya Njiro jijini Arusha leo. Marehemu Mama Lucy, aliyefariki Oktoba 26, 2012, alikuwa ni mtunza nyumba mkuu wa Ikulu ndogo ya Arusha wa muda mrefu
 Waziri Mkuu Mhe Mizengo Pinda akiweka mchanga kaburini
 Rais Kikwete akiaga wafiwa baada ya kuhudhuria mazishi hayo

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...