Mkurugenzi Mkuu wa Vodacom,Rene Meza |
· Wateja kupata taarifa kupitia SMS, Facebook na Twitter.
·Yatoa pongezi kwa vyombo vya habari na timu.
Mdhamini
Mkuu wa Ligi kuu ya Vodacom Tanzania bara, kampuni ya mawasiliano ya
Vodacom Tanzania, imewekeza katika kuwawezesha mashabiki wa soka kupata
taarifa na matukio ya mechi zote za ligi hiyo kupitia njia ya simu za
kiganjani na intanet.
Akizungumzia hatua hiyo Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom Tanzania, Rene Meza, amesema, Mtandao wa Vodacom una miundombinu ya kutosha na unaongoza katika masuala ya teknolojia.
BOFYA HAPA KWA HABARI KAMILI
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...