Oktoba 7, 2012 ilikuwa ni simu maalum yaBiharusi Mtarajiwa Fadhila Kikula kukabidhiwa jiko na kupewa mawaidha ya hapa na pale kutoka kwa akina mama juu ya namna ya kutunza jiko na nyumba yake kwa ujumla. Siku hii ilikuwa ni ya Kitchen Party.
 Keki ilikuwa hivi..

BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...