Oktoba 7, 2012 ilikuwa ni simu maalum
yaBiharusi Mtarajiwa Fadhila Kikula kukabidhiwa jiko na kupewa mawaidha ya hapa
na pale kutoka kwa akina mama juu ya namna ya kutunza jiko na nyumba yake kwa
ujumla. Siku hii ilikuwa ni ya Kitchen Party.
Home
Unlabelled
Kitchen Party ya Fadhila Kikula yafana sana
Subscribe to:
Post Comments (Atom)




Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...