Katibu Mkuu wa Cuf ambaye pia ni Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar,Maalim Seif Sharif Hamad akiwahutubia wafuasi wa chama hicho wakati wa kuzindua oparesheni ya v4c katika mkutano wa hadhara uliofanyika uwanja wa Levolisi jijini Arusha.
wafuasi wa Chama cha wananchi (Cuf) wakishika vichwa kama ishara ya kuzomea vyama vya siasa nchini vinavyowapa vijana pombe za viroba na konyagi katika uwanja wa Levolosi uliopo jijini Arusha hivi karibuni.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...