Mkurugenzi wa Kampuni ya Darworld Links, Mohammed Bawazir akiwatambulisha kwa waandishi wa habari mabondia Francis Miyeyusho (kushoto) na Nassib Ramadhani watakaopambana Desemba 9 kwenye Ukumbi wa PTA, Temeke jijini Dar es Salaam kugombea mkanda wa Ubingwa wa Mabara wa WB Forum, pambano hilo la uzito wa kilo 53.
 Bondia Francis Miyeyusho akisaini mkataba wa kupambana na Nassib Ramadhani (wa pili kulia). Anayeshuhudia kulia ni Mwanasheria Nyasebwa Berious wa Kampuni ya Member Law Attorneys (MLA). Wa pili kushoto ni Mkurugenzi wa Darworld Links inayoandaa pambano hilo, Mohammed Bawazir.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...