Mkurugenzi
wa Kampuni ya Darworld Links, Mohammed Bawazir akiwatambulisha kwa waandishi wa
habari mabondia Francis Miyeyusho (kushoto) na Nassib Ramadhani watakaopambana
Desemba 9 kwenye Ukumbi wa PTA, Temeke jijini Dar es Salaam kugombea mkanda wa Ubingwa
wa Mabara wa WB Forum, pambano hilo la uzito wa kilo 53.
Bondia
Francis Miyeyusho akisaini mkataba wa kupambana na Nassib Ramadhani (wa
pili kulia). Anayeshuhudia kulia ni Mwanasheria Nyasebwa Berious wa
Kampuni ya Member Law Attorneys (MLA). Wa pili kushoto ni Mkurugenzi wa Darworld Links inayoandaa pambano hilo, Mohammed Bawazir.


Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...