Meneja wa Tawi la NBC Mnazi Mmoja, Judith Motta (kulia) akikabidhi
zawadi ya fedha taslimu kwa mmoja wa washindi wa promosheni ya Dabo
Mshiko wako na NBC, Kidaki Ndege Sospeter jijini Dar es Salaam.
Katikati ni Meneja Chapa na Matangazo wa NBC, Arden Kitomari.
Meneja wa Tawi la Benki ya NBC Chang’ombe, Blessing Kijalo
(kulia) akikabidhi zawadi ya fedha taslimu kwa mmoja wa washindi wa
promosheni ya Dabo Mshiko wako na NBC, Joseph Saindani Nyilenda
jijini Dar es Salaam. Katikati ni Meneja Chapa na Matangazo wa NBC,
Arden Kitomari.
Mmoja wa washindi wa promosheni ya Dabo Mshiko wako na NBC,Joseph
Saindani Nyilenda akionyesha zawadi yake ya fedha taslimu mara baada
ya kukabidhiwa jijini Dar es Salaam.
Mshauri wa Mahusiano wa Benki ya NBC, Eddie Mhina akizungumza
katika hafla ya kuwakabidhi zawadi washindi wa promosheni ya Dabo
Mshiko wako na NBC jijini Dar es Salaam.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...