Meneja wa Benki ya NMB Kanda ya Kaskazini Bi. Vicky Bishubo (kushoto) akimkabidhi mfano wa Hundi yenye thamani ya shilingi milioni 10 Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Nelson Mandela Profesa Burton Mwamila kilichopo mkoani Arusha ukiwa ni mchango wa kufanikisha sherehe za ufunguzi wa Chuo hicho.
Meneja wa NMB Kanda ya Kaskazini Bi. Vicky Bishubo (wa pili kushoto) akimkabidhi mfano wa hundi yenye thamani ya shilingi milioni 10 Makamu Mkuu wa Chuo cha Nelson Mandela Profesa Burton Mwamila ili kufanikisha sherehe za ufunguzi wa Chuo hicho kilichopo mkoani Arusha. Akiangalia ni Meneja wa Benki ya NMB tawi la Clock Tower Bw. Ernest Olomi.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...