Waziri wa Ardhi,Nyumba na Maendeleo ya Makazi  Mhe.  Prof. Anna   K.  Tibaijuka akitoa Mada kwenye   Semina ya    Bunge  la  Sweden kuhusu " THE CHALLENGE TODAY FOR WOMEN IN TANZANIA : THE CASE FOR WOMEN EMPOWERMENT MINISTRIES IN AFRICA" jana  tarehe 25 Octoba, 2012  Mh. Tibaijuka alitoa mada hiyo  kwenye semina ya kumbukumbu ya miaka 100 ya Barbro Johansson, Mama wa Kiswidi aliyekuja Tanzania mwaka 1946 kama mmisionari na kuanzisha shule ya mfano ya wasichana (BOFYA HAPALuguruni Estate, wadi ya Kibamba Wilaya ya  Kinondoni , Dar Es Salaam

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 5 mpaka sasa

  1. Mama T natamanicku 1 NIFIKIE LEVEL YAKO. NSHAHANGAIKA JINSI YA KUKUPATA ANGALAU KWA USHAURI TU ILA IMEKUWA NGUMU SANA. I HOPE NAMI SIKU MOJA NITAKUWA PROF. UBARIKIWE MAMA

    ReplyDelete
  2. Mdau wa Kwanza,

    Huo ni mwanzo mzuri kwa kukunwa na maendeleo ya mmojawapo.

    Majaaliwa ya kupata chochote iwe mali, madaraka , elimu na kinginecho hutegemea vitu vikubwa viwili

    1.Mipango ya Mungu Muumba.
    2.Jitihada Binafsi.

    Kwa hivyo hujachelewa Muelekeee Muumba na pia ongeza bidii zaidi weka na malengo pia utafanikiwa na wewe kufikia hapo!

    ReplyDelete
  3. Anonymous wa kwanza Fri Oct 26, 12:16:00 PM 2012

    Wajuzi wanasema when DREAMS are implemented they always become REALITY!

    Yaani ndoto zikitekelezwa hutoa Uhalisia.

    Fanyia kazi hio kiu yako na wewe utafanikiwa!

    ReplyDelete
  4. Je uko tayari kunywa kikombe alichokunya Mama T, ili tu ufike hapo alipo au uwe kama yeye? Natumaini wewe ni mwanangu. Kweli Mama T ni role model, ila omba Mola akusaidie kufanikisha maendeleo yako aliyokusudia yeye Mola pindi ukiweka juhudi ipasavyo. Tena bila kuchemka katika uwajibikaji ngazi ya kaya na jamii ilimradi uwe Prof.

    ReplyDelete
  5. Anonymous wa kwanza

    Mama T. kichwa umeme kali sana hii kichwa inaweza kuwasha taa za miji mikbwa yote duniani. Usijeukashangaa kwamba Prof T anakutakia kheri ufanye mengi zaidi kuliko aliyoweza kutimiza.

    Kwa ushauri mtafute, ushauri

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...