Mkuu mpya wa Jeshi la Magereza nchini ,Kamishna Jenerali John Casmiri Minja akila kiapo mbele ya Amiri Jeshi mkuu Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete ikulu jijini Dar es Salaam leo aubuhi.
Mkuu mpya wa Jeshi la Magereza nchini, Kamishna Jenerali John Casmir Minja,akipokea miongozo ya kazi kutoka kwa Amiri Jeshi Mkuu,Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete wakati wa hafla ya kuapishwa iliyofanyika ikulu jijini Dar es Salaam leo asubuhi(picha na Freddy Maro)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Hongera sana Afande Minja, you deserve it.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...