Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete, akipokewa na Waziri Mkuu Mhe Mizengo Pinda katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere baada ya kurejea nchini leo Jumanne Oktoba 10, 2012 akitokea katika ziara ya Kikazi ya Marekani na Ziara Rasmi ya Kiserikali ya Canada.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete, akilakiwa na Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe Said Meck Sadiki katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere baada ya kurejea nchini leo Jumanne Oktoba 10, 2012 akitokea katika ziara ya Kikazi ya Marekani na Ziara Rasmi ya Kiserikali ya Canada.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete,
akilakiwa katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere baada ya
kurejea nchini leo Jumanne Oktoba 10, 2012 akitokea katika ziara ya
Kikazi ya Marekani na Ziara Rasmi ya Kiserikali ya Canada.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete,
akiongea na Waziri Mkuu Mhe Mizengo Pinda katika Uwanja wa Ndege wa
Kimataifa wa Julius Nyerere baada ya kurejea nchini leo Jumanne Oktoba
10, 2012 akitokea katika ziara ya Kikazi ya Marekani na Ziara Rasmi ya
Kiserikali ya Canada.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete,
akiongea na Waziri Mkuu Mhe Mizengo Pinda, Waziri wa Nchi ofisi ya Rais (Utumishi) Mhe Celina Kombani, Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Mhe Steven Wassira,
Naibu Waziri wa Kilimo Mhe Adama Malima na Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam
Mhe Said Meck Sadiki katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius
Nyerere baada ya kurejea nchini leo Jumanne Oktoba 10, 2012 akitokea
katika ziara ya Kikazi ya Marekani na Ziara Rasmi ya Kiserikali ya
Canada.PICHA NA IKULU
Pongezi kubwa kwa uongozi wako Rais Kikwete,Wazir Mkuu Pinda, Mh.Said Meck na pamoja na Mh. Celina Kombani kwa nia njema kwa maendeleo ya nchi.
ReplyDeleteHawa viongozi wetu wangekuwa wanapita na kule wanapita wageni wote kumechoka sana choo kipo pale pa kugongewa mihuri kinanuka, sehemu ya kuchukia mizigo imechoka jamani Tanzania kanchi kadogo kama jamaika kametushinda kwa airport nzuri sababu viongozi wote wanapita vip hawaoni hizi shida sasa nini maana ya kwenda nje kama hamleti mabadiliko mnayoona huko kwa wenzetu
ReplyDelete