Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akishiriki katika swala ya Iddi katika Masjid Rajab kijijini kwake Msoga-Chalinze leo Asubuhi.
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akipeana mkono wa Iddi na baadhi ya waumini walishiriki swala ya Iddi katika Masjid Rajab Kijijini kwake Msoga, kata ya Chalinze,Wilayani Bagamoyo leo asubuhi(picha na Freddy Maro)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 4 mpaka sasa

  1. safi sana hii kitu imekaa poa mtu kuenzi kwao.

    mdau NY

    ReplyDelete
  2. Idd Mubarak wana kijiji Msonga Chalinze - Bagamoyo pamoja na Rais Kikwete!

    ReplyDelete
  3. Wewe msonga ndio wapi?Nakujua kwetu MSOGA

    ReplyDelete
  4. IMEKAA VIZURI SANA LAKIN MHESHIMIWA AWAHUBIRI SANA NDUGU ZETU WAISLAMU DHIDI YA UDINI,TUONE MAAFA YA UDINI NA UKABILA HUKO RWANDA NI MFANO TOSHA,MHESHIMIWA WANAOLETA CHOKOCHOKO ZA UDINI WAWEKE KIZUIZINI.TUSIWAONEE HAYA WATU WACHACHE WANAOTAKA KUTUGAWA.MUNGU IBARIKI AFRIKA,MUNGU IBARIKI TANZANIA.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...