Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein,akisalimiana na Balozi wa Uholanzi
Nchini Tanzania Dk.Ad Koekkoek alipofika Ikulu Mjini Zanzibar leo
kusalimiana na Rais.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akifuatana na Balozi wa Uholanzi
Nchini Tanzania Dk.Ad Koekkoek alipofika Ikulu Mjini Zanzibar leo
kusalimiana na Rais.Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.
Sijaona Shein kacheka, tafadhali weka picha hiyo kwenye matukio maalum.
ReplyDelete