Assalaamu Alaykum Wapendwa katika Imani,
Kama mjuavyo, Inshaallah Eid El Adh-ha itasherehekewa Siku ya IJUMAA
26-10-2012
An Noor Community Leicester inapenda kukujulisheni utaratibu wa Sherehe
katika mji wa Leicester, Uingereza:
Inshaallah Sala ya Eid itasaliwa katika ukumbi wa Taylor Road School
na kufuatiwa na Kifungua kinywa kwa utaratibu huu:
TAKBEER: Zitaanza Saa Mbili na Nusu asubuhi (8.30am)
SALA YA EID: Itasaliwa Saa Tatu Kamili asubuhi (9.00am)
PAHALA: Taylor Road School, Taylor Road, Leicester, LE1 2JP
KIFUNGUA KINYWA: Inshaallah baada ya Salni tutajumuika kupata staftahi
PAHALA: 1st Floor, Kocha House, Malabar Road, Leicester, LE1 2PD
EID MUBAARAK!!!
Kwa maelezo zaidi tafadhali wasiliana nasi:
Mohammed Omar 07903978481, Abdul Dau 07792104495, Omar Hussein 07565512058
au e mail: madrasatulnoor.01@gmail.com



Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...