Home
Unlabelled
Vikwangua anga vyaendelea kushika kasi jijini dar
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
MichuziBlogV2Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Vyanzo vya Kifedha kwa uwekezaji huu vimehakikiwa?
ReplyDeleteJambo la ajabu ni kuwa ujenzi wa kiuwekezaji huu nchini unaenda sambamba na kasi ya hujuma, wizi na ufisadi!
FINANCE INTELLIGENCE UNIT (FIU) mpo?
ReplyDeleteNi jukumu lenu kuhakiki uwezo wa hawa wanaowekeza majengo kwa kukagua vyanzo vya mapesa yao!
Tatizo viwango havizingatiwi!
ReplyDelete1.Hakuna Competitive Bidding kwa Makampuni ya Kandarasi.
2.Nyingi za Kampuni za Kandarasi ni zile za aina ya ,NISAIDIE NDUGU YANGU BUILDING LTD., KWETU NJIA MOJA CONTACTORS LTD. na TULE SOTE CONTACTORS LTD.
3.Hatuna uwezo wa kiushindani hata kwa Eneo la Afrika ya Mashariki achilia (ICB) INTERNATIONAL COMPETITIVE BIDDING, hivyo ujio wa kukua kieneo kuwa Afrika ya Mashariki kutatupa changamoto kubwa sana!
Lakini ndio kukua kwenyewe huko!
Ok.ujenzi waendelea Dar na pengine Dodoma na Moshi, Lakini vipi maendeloe huko Kasulu? Sifikiri kama nimewahi kuona habari za mheshimiwa kufika huko angalau kuwakumbusha tu kuwa nao bado ni Watanzania. Very soon they will be living on another planet.
ReplyDeletehiki kikwangua anga nimekiona. hiyo bilikana (zamani mbowe hotel) itafukikwa kabisa. Itakuwa kama sevanti kota au choo...enewei ndio maendeleo
ReplyDeleteJengo hilo ni la RITA wakishirikiana na NSSF na mkandarasi ni kampuni ya kichina ya CRJE
ReplyDeleteWatanzania mtu akijenga kaiba acheni zenu za aliye juu mngoje chini changamkeni na nyie mjenge sio vikorosho tuu, izo enzi zilizokuwa hazina mafisadi mbona kulikuwa hakuna maendelea.Nyau
ReplyDeleteUfisadi umepita kiwango mbona watu mnakuwa wakali ikitajwa hivo?Wachache ndio wanahujumu na kula mali ya nchi na wengi wanaendelea kuhangaika. Angalieni na nchi jirani muone tofauti Bongo mmelala sana.... mnadanganywa na vikwangua anga.
ReplyDeletewe acha tu, viongozi wafike kasulu wafuate nini? but kasulu ya leo sio kasulu ya zamani. vikwangua anga ni NMB (na ukarabati mzito na kuongeza ATC), Highway hotel (wakati hata highway yenyewe haipo!!!),kule kabanga kwa masista, ukumbi mpya wa wilaya na gorofa nyingine 2.
ReplyDeleteVikwangua anga ndani ya city center vitaleta tatizo la msongamano wa magari na kudumaza utanukaji wa jiji. Bora majengo haya yakajengwa sam nujoma road, ubungo, mandela rd na pugu rd.
ReplyDelete