Baadhi
ya Wabunge wa Kamati ya Maendeleo ya Jamii ndani ya Bunge la Afrika
Mashariki wakipata maelezo kutoka kwa Msimamizi wa Kituo cha Habari cha Wizara
ya Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mahunda Achentahka (kulia) wakati walipotembelea Wizara hiyo jijini Dar es Salaam.
Baadhi
ya Wabunge wa Kamati ya Maendeleo ya Jamii ndani ya Bunge la Afrika
Mashariki wakiwa katika picha ya pamoja na Maofisa wa Kituo cha Habari cha Wizara
ya Ushirikiano wa Afrika Mashariki, wakati walipotembelea Wizara hiyo jijini Dar es Salaam.


Tunataka kuwaona live kwenye TV ukumbi wa Bunge La Afrika Mashariki wakichangia hoja mbalimbali tuwapime kama hoja zao zinakwenda sambamba na mahitaji ya mwananchi wa Tanzania.
ReplyDeleteWabunge wenzenu wa Dodoma tunawaona live kwenye TV na kuwapima kwa michango ya hoja zao.
Ankal wafikishie ujumbe kama hawasomia blogu hii ya jamii ila naamini Mh. Shyrose Bhanji hupitia humu hivyo wabunge wa EALA hawawezi kukosa meseji toka kwa vyanzo viwili.
Mdau
Namanga