Taswira za jinsi muonekano wa barabara ya Morogoro road sehemu za 'uhindini' jijini Dar es salaam ulivyo hivi sasa wakati ujenzi wa barabara kwa ajili ya mabasi yaendayo haraka umeshika moto



Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 8 mpaka sasa

  1. barabara ya morogoro ROAD...kwikwi

    ReplyDelete
  2. Hongera.
    Ila inabidi iwekwe miferuji ya chini ya maji taka pamoja na njia za kupitishia umeme wa dharura n.k . ili kuepusha ukarabati wa mara kwa mara pamoja na kukwama kwa maji na kusababisha momonyoko wa lami.

    ReplyDelete
  3. hapo itamwagwa kapeti freeshi halafu zitapita wiki mbili tatu atakuja mweyu aanze kuchimba akidai anaweka fiber!!

    ReplyDelete
  4. kaka,

    Xaxa mbona Magufuli habomoi hayo magorofa yaliyoko kwenye ROD RIZEV?

    Au barabara za huko Uhindini hazinaga rod rizev.

    Mbona kule kwetu Tandale kwa Tumbo na kule kwa Mkunduge tunabomolewa tunaambiwa tuko kwenye Rod Risev?

    Huu si uonevu huu jamani?!?

    ReplyDelete
  5. oya nyie mbona mnazingua, barabara ya Morogoro ROAD ndio nini?

    ReplyDelete
  6. Mdau wa kwanza hapo juu huenda ni mgeni katika hili libeneke. Hiyo ndiyo lugha sahihi kwa watumiaji wa hapa.

    ReplyDelete
  7. kidumu chama cha mapinduzi

    ReplyDelete
  8. Mchuzi lete picha za mitaa ya Gerezani na Kariakoo wache jamii kwenye blog wapate elimu ya ukweli.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...