Mwakilishi wa Kampuni ya Safari Yetu, Arnold Minde akitoa mafunzo katika  semina ya shindano la mchanganuo wa biashara kwa wanafunzi wa Vyuo Vikuu iliyodhaminiwa na benki ya CRDB na kufanyika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam.
 Mwakilishi wa Kampuni ya KINU, John Baretto akitoa mafunzo katika  semina ya shindano la mchanganuo wa biashara kwa wanafunzi wa Vyuo Vikuu iliyodhaminiwa na benki ya CRDB na kufanyika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam
 Mmoja wa wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam akipata nafasi ya kuuliza maswali kuhusu mchanganuo wa biashara
Baadhi ya wanafunzi wa Vyuo Vikuu wakiwa katika mafunzo hayo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...