Waziri
Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Mizengo Pinda akimkabidhi
cheti Geofrey Meena Meneja Masoko wa Bodi ya Utalii Tanzania (TTB) kwa kuitambua kwa mchango wake katika mapambano dhidi ya Malaria wakati wa
uzinduzi wa Kampeni ya Kupambana na ugonjwa huo inayoitwa (Malaria Safe
Companys) uliofanyika kwenye hoteli ya Hyatt Regency Dar es Salaam
jijini dar es salaam jana.ambapo Wizara ya afya inashirikiana pamoja na taasisi za kimataifa na Makampuni mbalimbali pamoja na Sekta
ya michezo, ambapo wadau mbalimbali wameshiriki katika uzinduzi huo.
Waziri
wa Afya na Ustawi wa jamii Mh. Hussein Mwinyi akimpongeza Bw. Geofrey
Meena baada ya kupokea cheti hicho kwa niaba ya Bodi ya Utalii Tanzania
(TTB).
Waziri
Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Mizengo Pinda akimkabidhi
cheti Mzee CHrisant Mzindakaya Mwenyekiti wa Kampuni ya Kuzalisha nyama
ya mkoani Rukwa kwa mchango wake katika kupambana na Malaria nchini.
Waziri
Mkuu Mh. Mizengo Pinda akiwa katika picha ya pamoja na wadau makampuni
na taasisi mbalimbali wanaopambana na ugonjwa wa malaria nchini mara
baada ya uzinduzi huo.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...