Ilikuwa ni mwanzo wa maisha mapya kwa Shaaban Tarshi (kushoto) wakati alipofunga ndoa na Ghanima Ahmad katika sherehe iliyofanyika Ilala jijini Dar es Salaam jana Alhamisi Novemba 22, 2012. Shaaban ni msanifu kurasa wa kampuni ya The Guardian LTD na mkewe Ghanima pia ni msanifu kurasa wa kampuni binafsi ya Kariakoo jijini pia.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 7 mpaka sasa

  1. Huo utakuwa uzalilishaji kwa kumwita mke jiko!!

    ReplyDelete
  2. Hongereni mmependeza, nawatakia maisha marefu ya ndoa.

    ReplyDelete
  3. Hongera mkuu shebi. Kijana Mpole sana .dah shebi hata kadi wangu..Usiisau kinondoni mkwajuni...kwa mwalimu kambiii. Ila na Abuu afuate nyayo zakooo.

    ReplyDelete
  4. jamani tujaribu kujirekebisha matashi ya kumwita mke jiko,baadala yake tumwite mke malikia

    ReplyDelete
  5. Kila binadamu amezaliwa FREE. Ukichagua kuoa hilo ni tatizo lako.

    ReplyDelete
  6. Inshallah Mwenyezi Mungu awape maisha mema katika ndoa yenu.

    Ameeeeeeennnnn !!!

    ReplyDelete
  7. Wameoana, msije mkaanza tena nyienyie kuwachonganisha.

    Tuwe na utamaduni wa kuwatakia mema wenza ktk maisha hasa ya Ndoa!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...