Rais  Jakaya Mrisho Kikwete leo amewaapisha mjumbe wa tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji Mstaafu John Mkwawa pamoja na Katibu wa Tume ya Kurekebisha sheria Bi.winfrida Beatrice Korosso katika hafla iliyofanyika ikulu jijini Dar es Salaam leo asubuhi. Pichani  juu ni mjumbe wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji Mstaafu John Mkwawa(8724)  na chini ni Katibu wa Tume ya Kurekebisha Sheria Bi.Winfrida Beatrice Korosso(8734) Wakila kiapo mbele ya Rais leo Ikulu jijini Dar es salaam

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...