Mwenyekiti wa kamati ya dunia ya sayansi na taaluma ya mabadiliko ya tabia nchi Bw. Richard Muyungi akibadilishana mawazo juu ya utendaji kazi wa kamati hiyo na Makamu wake Bw. Narcis Jeler kushoto, kutoka wizara ya Nishati na Misitu ya nchini Romania, baada ya ufunguzi wa mkutano wa 18 wa nchi wanachama wa mkataba wa mabadiliko ya tabia nchi duniani unaondelea mjini Doha nchini Qatar. (Picha na Evelyn Mkokoi)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...