VERONICA BUNG'ANDO 1956------2010 

LEO TAREHE 02/11/2012 UMETIMIZA MIAKA MIWILI TANGU ULIPOITWA NA MWENYEZI MUNGU. ILIKUWA NI VIGUMU KUZOEA KUTOKUWEPO KWAKO LAKINI KWA MSAADA WA MUNGU AMETUJALIA KUZOEA. 

 UNAKUMBUKWA SANA WA WATOTO WAKO VALENTINA CHASAMA; ZAKARIA, ANNASTAZIA, MARIA NA RAYMOND. PIA UNAKUMBUKWA NA WAKWE ZAKO WOTE PAMOJA NA WAJUKUU WAKO WOTE NA WANAJUMUIYA WENZAKO WA JUMUIYA YA MT. PETRO SHINYANGA. 

MISA YA KUMBUKUMBU INAFANYIKA LEO TAREHE 02/11/2012 KATIKA KANISA KUU LA MAMA WA HURUMA NGOKOLO SHINYANGA. KARIBUNI SANA. ROHO YA MAMA YETU VERONICA BUNG`ANGO IPATE REHEMA KWA MUNGU IPUMZIKE KWA AMANI. AMINA. 

ASANTE.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...