Mkurugenzi wa Kampuni ya Mishangu International Ltd Bw. Omary Omary akikabidhiwa cheti cha tathmini ya mazingira kutoka kwa Mkurugenzi wa kitengo cha kutathmini athari ya mazingira (EIA) wa Baraza la Mazingira Tanzania (NEMC) Bw.Frederick Rugiga.  Cheti hicho kitawaruhusu kufanya kazi ya kuchimba madini aina ya gypsum katika eneo la Makangaga Kilwa, wanaoshuhudia tukio hilo katikati kulia ni ndugu Godbless Kweka na Jonathan Mwanayongo ambao pia ni wakurugenzi wa kampuni hiyo. Makabidhiano hayo yalifanyika katika ofisi za NEMC jijini Dar Es Salaam mwishoni mwa wiki.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Walau huwa napata amani shavu kupewa mzalendo na si vinginevyo licha ya kuwa baadhi ya wazalendo huwa wanatuangusha.
    Natamani kama sehemu zote muhimu zingekua zinamilikiwa na watanzania wenyewe.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...