Kiongozi wa bendi Mashujaa, Charlz Baba (katikati) akiongoza safu ya ushambuliaji ya Bendi yao hiyo wakati wa Mazoezi kwa ajili ya Uzinduzi wa albam yao ya Pili iitwayo "Risasi Kidole" wakiwa sambamba na Bendi maarufu ya Congo, Wenge BCBG chini ya mwanamuziki nguli JB Mpiana.Shoo ya uzinduzi huo itafanyika kesho kwenye viwanja vya Leaders club,Kinondoni jijini Dar es Salaa.
Kiongozi wa bendi Mashujaa, Charlz Baba (alieruka juu) akiongoza safu ya ushambuliaji ya Bendi yao hiyo wakati wa Mazoezi kwa ajili ya Uzinduzi wa albam yao ya Pili iitwayo "Risasi Kidole" wakiwa sambamba na Bendi maarufu ya Congo, Wenge BCBG chini ya mwanamuziki nguli JB Mpiana.Shoo ya uzinduzi huo itafanyika kesho kwenye viwanja vya Leaders club,Kinondoni jijini Dar es Salaa.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...