Mganga Mkuu wa Meno Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Ahadiel Senkoro akimkagua meno mwanafunzi wa Shule ya Liones Miburani, Said Mkuki alipokuwa akizindua Siku ya Afya ya Kinywa na Meno Kitaifa, Dar es Salaam jana. Kulia ni Rais wa Chama cha Madaktari wa Meno Tanzania, Dk.Rachel Mhaville na Mwalimu Mkuu wa shule hiyo, Tunsume Mwaigwisya.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Rachael njoo huku mtoni jua la bongo linakumaliza, zamani ulikuwa umekolea rangi, nice 2 c that ur doing well.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...