Mdau mkubwa wa Globu ya Jamii, Dkt. Fred Msemwa, ambaye ni Mkurugenzi wa Ukaguzi Hesabu wa EWURA, majuzi kala nondozzz ya PhD katika usimamizi wa Biashara  kutoka Open University of Tanzania. Hongera mdau. We are proud of you!

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Mgaywa MagafuNovember 10, 2012

    Pongezi za dhati kwako Fred na familia yako kwa mafanikio hayo. Wewe ni mpiganaji wa kweli na rekodi yako inajionyesha yenyewe. Mwalimu Nyerere wakati wa uhai wake aliwahi kusema kwamba taa kubwa huzungukwa na giza kubwa kuliko taa ndogo. Ironically, kwa kupata PhD utajikuta una mambo mengi zaidi utakayotaka kuyajua zaidi na zaidi. PhD inawezakuwa imejibu maswali fulani lakini pia inawezekana imeibua maswali mengine zaidi. Naamini elimu yako itachangia katika vita dhidi ya ufisadi - ugonjwa ambao tumeaminishwa kuwa ni kitu cha kawaida. Ni vita ambayo lazima nchi ishinde kama inataka kupiga hatua.

    Kutoka kwa: Mgaywa Magafu na familia

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...