Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba Jaji Joseph Warioba (kushoto) akisalimiana na Waziri Mkuu, Mhe. Mizengo Pinda na Mbunge wa Tabora Mjini Mhe. Ismail Rage (kulia) mara baada ya kumalizika kwa mkutano wa kukusanaya ya Wabunge kuhusu Katiba Mpya katika ukumbi wa Pius Msekwa mjini Dodoma leo Jumamosi, Novemba 3, 2012.
Spika wa Bunge Mhe. Anne Makinda akizungumza kabla ya kuanza kwa mkutano wa kukusanya maoni ya Wabunge kuhusu Katiba Mpya mjini Dodoma leo Jumamosi, Novemba 3, 2012. Kushoto kwake ni Mwenyekiti wa Tume Jaji Joseph Warioba, Makamu wake Jaji Augustino Ramadhani na Katibu wa Tume Bw. Assaa Rashid.
Mbunge wa Dole Mhe. Sylvester Mabumba akitoa maoni yake kuhusu Katiba Mpya katika mkutano huo.
Meza kuu ilivyokuwa katika mkutano huo.
Mbunge wa Bunda na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (Uhusiano) Mhe. Steven Wassira akitoa maoni yake kuhusu Katiba Mpya katika mkutano huo.
Mbunge wa Viti Maalum kutoka Singida Mhe. Diana Chilolo akitoa maoni yake katika mkutano huo.
Mbunge wa Kigoma Kaskazini Mhe. Zitto Kabwe akitoa maoni yake katika mkutano huo.
Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba Jaji Joseph Warioba (kushoto) akisalimiana na Waziri Mkuu, Mhe. Mizengo Pinda na Mbunge wa Tabora Mjini Mhe. Ismail Rage (kulia) mara baada ya kumalizika kwa mkutano wa kukusanaya ya Wabunge kuhusu Katiba Mpya katika ukumbi wa Pius Msekwa mjini Dodoma leo Jumamosi, Novemba 3, 2012.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. Ankali misupu nina swali ningependa nikuulize hapahapa uwani sina haja ya kukufata kibarazani

    hivi ankali ni kwanini hugombei ubunge ? au hutaki kupanda mashangingi ma vx ?

    au hutaki kujiunga na ufisadi ndio maana unaogopa kugombea ubunge wa kule nanii?

    asante sana ningelipenda unijibu hapahapa uwani

    ReplyDelete
  2. Ankal haukupata video au hata sauti tukajuwa waheshimiwa wana mtazamo gani?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...