Bwana harusi, Godfrey Monyo akiwa na Bi. harusi, Gadiosa Lamte wakiwa katika kanisa la Mt. Petro jioni hii wakati wa ibada ya ndoa takatifu
 Bwana harusi Godfrey Monyo akila kiapo
 Bibi harusi akila kiapo 
 Pokea pete ya uchumba
 Mpganaji Noeli Kapanda akimpongeza bwana harusi
 Picha ya pamoja na wapambe
 Picha ya wazazi na maharusi
  Maharusi wakiwa na furaha tele
Hapa ndipo inapofanyika sherehe ya harusi ya Godfrey Monyo na Gadiosa katika bustani ya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam
 Ankal akiwa na my wife wake
 Mama wa Rahateletz.blogspot.com akiwa bize kukupa matukio ya LIVE kutoka ukumbini
 Wafanyakazi na watangazaji wa ITV
Gilian Lewis akiwa katika pozi na mume wake

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 7 mpaka sasa

  1. This is really beautiful, I love that.

    ReplyDelete
  2. Kaka Michu! hiyo ni pete ya ndoa eee siyo ya uchumba!! hawachumbiani hao wanaOANA:)
    Hongera sana bwana na bi harusi, Mungu awabariki.

    ReplyDelete
  3. Watanzania tuwekeze katika elimu kuliko hivi vitu vya mpitoooooo! Sponsor a child for good quality education (now in Private schools) and you will have made a difference, and God will bless you. Kote Nchi walimoendelea, watu wa KAWAIDA kama Monyo hawafanyi mambo haya. Imependeza Yes! But at what and whose cost? What are the opportunity costs? Tubadilike Watanzania!

    ReplyDelete
  4. Elimu inawakati wake baada ya dhiki faraja nafaraja yenyewe ndo hii sherehe pekee ambayo muhusika anaenjoy ni ndoa kuzaliwana kufa wanaenjoy wenzako bt kuoa au kuolewa ndo Mungu karuhusu mhusika afaidi duh hongera Monyo mdau Mungu akupe heri.. mpate watoto wa kike na kiume waizunguke. meza yenu upendo utawale nyumba yenu muwe wakarimu kwa wageni wenu wote... SARAH - NAOT

    ReplyDelete
  5. ankali mishuzi mkeo ni msupuuu

    ReplyDelete
  6. Mkerwa huna akili wewe

    ReplyDelete
  7. Mjomba Michuzi Hongera wewe na Mama Mammou na pia Bwana na Bibi Harusi hengera saaana !

    Inshallah nataka ikiwezekana nibadili jina nisikuite Mjomba bali NIKUITE BABA MKWE MTARAJIWA KWA BI. MAMMOU ILA NASUBIRI AMALIZE MASOMO

    NAOMBA UNIPOKEE NIKIJA!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...