Mdau wa Globu ya Jamii na CEO wa Libeneke la www.wazalendo25.blogspot.com, Gadiola Emanuel, BAADA YA KULA NONDOZZZZZZZZ YA DIPLOMA YA UANDISHI WA HABARI (DIPLOMA IN JOURNALISM ,TELEVISION AND RADIO PRODUCTION,PR) JIJINI ARUSHA,(Arusha Journalism Training Centre).
Furaha ya nondozzzz
Tayari kwa mnuso na mdau
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...