Familia ya Dr. Cornelius Lugata Balandya inapenda kukukaribisha katika shughuli ya kumalizia msiba wa mama yetu Marehemu Betseba Francis Lupembe Balandya aliyefariki dunia Ijumaa ya tarehe 05-Oct-2012 na kuzikwa Jumatatu 08-Oct-2012 katika Makaburi ya Mbezi Kibanda cha Mkaa.
Shughuli ya Kumalizia msiba itafanyika Jumapili ya tarehe 02-December-2012 kwa sala ya shukrani itakayofanyika katika kanisa la Roman Catholic la Mt. Monica la Kimara Kilungule saa 1:30 asubuhi na kufuatiwa na chakula cha mchana nyumbani kwa marehemu Kimara Kilungule saa 6 mchana.
Nyote Mnakaribishwa
William Kaijage



Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...