Familia ya Dr. Cornelius Lugata Balandya inapenda kukukaribisha katika shughuli ya kumalizia msiba wa mama yetu Marehemu Betseba Francis Lupembe Balandya aliyefariki dunia Ijumaa ya tarehe 05-Oct-2012 na kuzikwa Jumatatu 08-Oct-2012 katika Makaburi ya Mbezi Kibanda cha Mkaa.

Shughuli ya Kumalizia msiba itafanyika Jumapili ya tarehe 02-December-2012 kwa sala ya shukrani itakayofanyika katika kanisa la Roman Catholic la Mt. Monica la Kimara Kilungule saa 1:30 asubuhi na kufuatiwa na chakula cha mchana nyumbani kwa marehemu Kimara Kilungule saa 6 mchana.

Nyote Mnakaribishwa

William Kaijage

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...