Hapa Ankal hatii neno maana wapenzi wa kipindi cha 'From me to you' cha RTD enzi hio huu ulikuwa kama wimbo wa Taifa. Kaka Abdul Mtullya huko Ujerumani idhaa ya Kiswahili ya DW unakumbukwa kaka kwa haya mambo
Home
Unlabelled
Ngoma azipendazo Ankal
Subscribe to:
Post Comments (Atom)


Ankal mbona umetukumbusha mbali, sijui unakumbuka kipindi cha "At your Request" na "12 noon spin" ndio nyimbo zao hizo. Halafu Ankal unakuja Gymkhana Uwanja wa Basket kufuata Michuzi yako ya Picha. Jua kali, lakini maisha yalikuwa mazuri.Tunasikiliza YMCA Disco kwa mbali pale Gymkhana.
ReplyDeletePazi enzi hizo