Meneja wa Mradi wa Sauti ya Busara Journey Ramadhani akifafanua jambo mbele ya Waandishi wa Habari i  kupinga maelezo yaliotolewa na Mtoto wa Kaka wa Msanii Mashuhuri Mkongwe Bi Kidude Binti Baraka, Baraka khamis, alioyatoa katika vyombo vya Habari akielezea kuwa Sauti ya Busara imedhulumu  Mali za Msanii huyo leo katika Ukumbi wa Habari Maelezo Kikwajuni Zanzibar.
 Mkurugenzi wa Sauti ya Busara Yussuf Mahamoud akitoa maelezo namna walivyokutana na Msanii Mashuhuri Mkongwe Bi Kidude Binti Baraka hadi kufikia kumtunzia Fedha zake, akionesha Risiti ambazo Msanii huyo Mashuhuri alizochukulia Fedha,
Mwandishi wa Habari wa Channel Ten Tv Muniyr Zakaria akiuliza maswali katika Mkutano wa Sauti ya Busara hapo katika Ukumbi wa Habari Maelezo Kikwajuni Zanzibar.PICHA NA YUSSUF SIMAI-MAELEZO ZANZIBAR.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...