Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Shirika lisilokuwa la kiserikali la Plan International, Balozi Ellen Margarethe akipokea zawadi ya dafu kutoka kwa mkazi wa kijiji cha Jaribu, Wilayani Kisarawe mara baada ya kukagua na kupata repoti za maendeleo za miradi hiyo kijijini hapo, wanaoangalia ni Lydie Boka, ambae pia ni mjumbe wa bodi ya wakurugenzi wa Plan international akifuatiwa na Stella Tungaraza , Mshauri wa masuala ya Kujikimu wa Plan (T), anaeangalia kwa mbali ni Regis Nyamakanga, Mkuu wa kitengo cha Mawasiliano wa Plan Internation.
Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Shirika lisilokuwa la kiserikali la Plan International, Balozi Ellen Margarethe, akicheza na wananchi wa Kijiji cha Jaribu, Wilaya ya Kisarawe, mkoani Pwani, alipowatembelea kwa ajili ya kuangalia na kujifunza utendaji wa miradi inayofadhiliwa na shirika hilo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...