Home
Unlabelled
Taswira za Mkeka wa nguvu Rombo Mkuu-Tarakea mkoani Kilimanjaro
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
MichuziBlogV2Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
ni nini sasa?naona vx v8 tu za msafara wa mkulu na rondo za kina ras makunja sioni raia kwani bara bara zilijengwa kwa ajili ya nani?usiibane hii
ReplyDeleteUntakana wanakijiji nao wawemo kwenye msafara wa raisi?
ReplyDeletejamani vipi barabara ya Nzega - Tabora? Moshi tuuuuu, tuhurumieni.
ReplyDeleteKaka,
ReplyDeleteHiyo kona ya yuu tan hiyo kaka kama watu wasipokuwa makini hapomlazima watajibwaga hapo
Hongera Hongera Mkuu Rombo-Tarakea Mkoani wa Kilimanjaro! Angalia Tanzania inavyo meremeta.
ReplyDeleteHuko nzega jibidisheni mtafwata --- laleni muone mtavyoachagwa! mwe!
ReplyDeletesiasa ni mchezo wa kujititimua ili mtawala akuone sasa wewe wa Nzega kila siku unampa ndiyo CCM unadhani atakujali vp kama sio kukuona mdebwedo! Huku Rombo wamemjimba biti CCM akaishia kulegea alimradi tu arudishe jimbo!
ReplyDelete