Kaimu Katibu Tawala Mkoa wa Rukwa Samson Mashala akikagua timu za Small Kids ya Rukwa na Mkamba Rangers kutoka Morogoro kabla ya mpambano kati yao uliofanyika katika uwanja wa Nelson Mandela Mkoani Rukwa. Katika pambano hilo timu ya Small Kids illibuka na ushindi mnono wa goli tatu bila (3-0).
Timu ya Mkamba Rangers kutoka Ifakara Mkoani Morogoro.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. Small Kids ndio nini?

    ReplyDelete
  2. Baba wazima halafu wanajiita 'dogo'!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...