Jamaa na marafiki wakiwa katika ofisi za msajili wa vizazi na vifo, jijini London leo, kwa ajili ya kupata nyaraka muhimu za kuwezesha mwili wa Marehemu Fred Mttoi, kupelekwa  nyumbani kwa mazishi, nyaraka hizo zimepatikana na taarifa rasmi itatolewa hivi karibuni.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...