Home
Unlabelled
USIKU wa MAYENU
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Jamanii LAPF wenye jengo ni taasisi ya umma, hivyo mue mfano mzuri wa kuzingatia sheria. Muziki unaopigwa Mzalendo pub open space ni kero kubwa kwa makazi wa makumbusho, kijitonyama, mikocheni kwa kuwa na makelele sana na pia ni kinyume na Sheria za halmashauri za uchafuzi wa mazingira kwa sauti kubwa. Watoto kulala na kufanya home work ini vigumu kwa sababu ya makelele. Kwa Kuwa halmashauri na polisi wameshindwa kusimamia sheria zilizoko za kuzuia noise pollution basi tunaomba LAPF isaidie kwa kumlazimisha mpangajii wa Mzalendo pub azingatie sheriaa kwa kutopiga mziki kwenyee open space la sivyoo pango lisitishwee, Sheria nii Kwanzaa mziki wa Sautii Kubwaa upigiwe kwenyee ukumbi uliokuwa sound proof. chonde chonde LAPF, board members pia mtusaidie kuhakikisha Mali za umma hazitumiki na wapangajii Kuvunjia Sheria, mdau joe bura dar
ReplyDelete