Judith Nshobeirwe akimvika taji Mhitimu mwenzake wa cheti cha biashara na masuala ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano Hawa Nyato wakati wa Mahafali ya pili ya kitengo cha Komputer cha Chuo Kikuu cha Dar es salaam,hivi karibuni jijini Dar es Salaam.
Wahitimu wa cheti cha Biashara na Masuala ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano katika Kitengo cha Komputer cha Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Hawa Nyato na Judith NshobeirwE wakiwa katika pozi ya picha wakati wa mahafali yao ya pili yaliyofanyika katika Viwanja vya Karuimjee jijini Dar es Salaam hivi karibuni.
HONGERA SANA KWA WAHITIMU WOTE, NA WENGINE WAIGE SANA, IKIWEZEKANA MSIISHIE HAPO TU NGAZI BADO NDEFU MZIDI KUPANDA. TUTOFAUTISHE KATI YA TAJI NA SHADA, MATAJI HUVIKWA KICHWANI NA MASHADA NDIO HUVIKWA MABEGANI/SHINGONI NA MENGINE HUWEKWA JUU YA MAKABURI N.K.
ReplyDelete