Mkuu wa Wilaya ya Mvomero, Anthony Mtaka ( mwenye Kaunda suti nyeusi) akiteta jambo na Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Morogoro ( Moro Vijijini) Kibena Kingo, ( mwenye kujitanda ushungi kichwani), baada ya kutoka nje ya ukumbi wakati wa kikao cha 29 cha Bodi ya Barabara Mkoa wa Morogoro kilichofanyika Novemba 29, mwaka huu.
Mbunge wa Jimbo la Kilosa, Mustafa Mkullo, pamoja na wajumbe wazake kutoka nje ya ukumbi wa Gronecy Mjini hapa , baada ya Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Joel Bendera ( hayupo pichani) kufungua kikao cha 29 cha Bodi ya Barabara Mkoa, mwingine anayefuatia ni Mbunge wa Jimbo la Morogoro Kusini Mashariki, Dk Lucy Nkya.
Mkuu wa Wilaya ya Mvomero, Anthony Mtaka ( mwenye Kaunda suti nyeusi) akiteta jambo na Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Morogoro ( Moro Vijijini) Kibena Kingo, ( mwenye kujitanda ushungi kichwani), baada ya kutoka nje ya ukumbi wakati wa kikao cha 29 cha Bodi ya Barabara Mkoa wa Morogoro kilichofanyika Novemba 29, mwaka huu.Picha zote na John Nditi.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...