Waziri wa Habari Utamaduni Utalii na Michezo Said Ali Mbarouk (kushoto)akimkabidhi Kapten wa Timu ya Taifa ya Zanzibar(Zanzibar Heroes)Nadir Haroub Kanavaro Bendera ya Zanzibar ili kuipeperusha katika Michuano ya Chalenj itakayofanyika huko Uganda,hafla iliofanyika Bwawani Mjini Zanzibar.
 
Kepten wa Timu ya Taifa ya Zanzibar(Zanzibar Heroes)Nadir Haroub Kanavaro akitoa shukurani kwa  Waziri wa Habari Utamaduni Utalii na Michezo Said Ali Mbarouk na kuahidi kuipeperusha Vyema Bendera ya Zanzibar katika Michuano ya Chalenj itakayofanyika huko Uganda,hafla iliofanyika Bwawani Mjini Zanzibar.
PICHA NA YUSSUF SIMAI-MAELEZO ZANZIBAR.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...