AIRTEL WAIBUKA KIDEDEA NA TUZO YA UTENDAJI BORA (Performance Management)
 MKURUGENZI WA RASILIMALI WATU WA AIRTELBw, PATRICK FOYA AKIWA AMESHIKILIA CHETI NA TUZO HIYO YA UTENDAJI BORA WALIOJISHINDIA JANA NA KUKABIDHIWA NA MH RAIS DKT, JAKAYA MRISHO KIKWETE

TUZO YA KWANZA KULIA NDIO YA UTENDAJI BORA (Performance Management) ILIYOONGEZEKA  KATIKA DIPLAY/KITUNZA TUZO CHA AIRTEL MAKAO MAKUU LEO.
TUZO HIZI ZIMEANDALIWA NA ASSOCITION OF TANZANIA EMPLOYERS (ATE) NA KUKABIDHIWA KWA WASHINDI NA MHESHIMIWA RAIS WA JAMUHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA DKT, JAKAYA MRISHO KIKWETE.

SHUKRANI TOKA AIRTEL
AIRTEL TANZANIA INACHUKUA FULSA HII KUWASHUKURU WATANZANIA WOTE WANAOENDELEA KUFURAHIA HUDUMA BORA KUTOKA AIRTEL, TUZO HII YA UTENDAJI BORA YA 2012  NI KWAAJILI YETU SOTE, HIVYO ENDELEA KU-ENJOY UHURU WA KUONGEA UKIWA  AIRTEL. BADO TUNASISITIZA KUWA AIRTEL ITAENDELEA NA MPANGO WAKE WA KUTOA MAWASILIANO NAFUU NA YENYE UHAKIKA ZAIDI MWAKA UJAO WA 2013.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...