Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,kwa pamoja na Balozi wa Norway nchini
Tanzania Bibi Arna Klepsivik,wakata utepe kama ishara ya Uzinduzi wa
sensa ya miti (woody Biomass Survey) katika hifadhi ya Taifa ya msitu
wa Jozani leo.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akipima mti kujua upana wake baada ya
kuzindua zoezi la sensa ya miti (woody Biomass Survey) katika
hifadhi ya Taifa ya msitu wa Jozani leo,(kulia) Naibu waziri wa
Kilimo na Maliasili Mtumwa Kheir Mbaraka,na Katibu Mkuu wa Wizara ya
Kilimo Maliasili Affani Othman Maalim,(kulia).
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi
Dk.Ali Mohamed Shein,akipima urfu wa mti alioupima urefu kwa kutumia
chombo maalum cha kupimia miti,wakati wa uzinduzi wa zoezi la sensa
ya miti (woody Biomass Survey) katika hifadhi ya Taifa ya msitu wa
Jozani leo.Picha na Ramadhan Othman Ikulu.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...