MAREHEMU AGNES KATHLEEN SHAURI

Mpendwa mama yetu leo umetimiza miaka mitano tangu ulipotuacha,Pengo uliloacha haliwezi kuzibika kamwe. Upendo, ucheshi na ukarimu wako hatutasahau. japo miaka mitano imepita lakini bado tuna uchungu mkubwa moyoni wa kutokuwa pamoja na wewe.

Unakumbukwa sana na mume wako, watoto wako, wajukuu ndugu na jamaa. Mungu azidi kukupa raha ya milele mama yetu mpendwa. Bwana ametoa na Bwana ametwaa jina lake lihimidiwe.....

Amin

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...